Tuesday 29 July 2014

MSICHANA WA KIAFRICA, FASHION AU UWENDA WAZIMU?!!!


Inapotokea Mtu wako wa karibu, mathalani dada, mke au baby baby ameamua kwa makusudi kujivesha vazi la aina hii kisha kutupia picha zake Instagram, unachuka hatua gani, au utajisikiaje?!!

1 comment: